Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2018

SIMULIZI YA NAKUMBUKA TU NA AWADH PALANGU

           NAKUMBUKA TU NA: AWADH PALANGU SIMU: 0713 899 084, 0785 056 575 2017 YALIYOMO SHUKURANIiii UTANGULIZIiv Nakumbuka tu1 SHUKURANI Kwanza ninapenda kumshukuru Allah mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo pia namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniajalia siha njema na uwezo wa kuandika kitabu hiki. Nawashukuru  walimu wangu wa sarufi na fasihi kwa kunijengea msingi na kunipa maarifa yaliyoniwezesha kuandika kitabu hiki, namshukuru Mwalimu Muhango wa chuo kikuu mkwawa, Mwalimu Tito mgani mwalimu  wa kiswahili shule ya sekondari mwakavuta, wafanyakazi wa makumbusho ya Mkwawa-kalenga pia namshukuru Muslim Kalilo kwa kubuni na kuchora kifuniko cha kitabu hiki kwa usanifu. Shukurani za pekee kwa wazazi wangu na familia yangu kwa ujumla kwa mchango wao wa hali na Mali. Shukurani zangu pia nazitoa kwa wale wote waliosaidia kitabu hiki kikamilike. Allah awafanyie wepesi katika kila jamb...

SIMULIZI YA NAKUMBUKA TU NA AWADH PALANGU

           SIMULIZI- NAKUMBUKA TU MTUNZI- AWADH PALANGU SIMU: 0713 899 084, 0785 056 575 INSTAGRAM/FB AWADH PALANGU SHUKURANI Kwanza ninapenda kumshukuru Allah mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo pia namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniajalia siha njema na uwezo wa kuandika kitabu hiki. Nawashukuru  walimu wangu wa sarufi na fasihi kwa kunijengea msingi na kunipa maarifa yaliyoniwezesha kuandika kitabu hiki, namshukuru Mwalimu Muhango wa chuo kikuu mkwawa, Mwalimu Tito mgani mwalimu  wa kiswahili shule ya sekondari mwakavuta, wafanyakazi wa makumbusho ya Mkwawa-kalenga pia namshukuru Muslim Kalilo kwa kubuni na kuchora kifuniko cha kitabu hiki kwa usanifu. Shukurani za pekee kwa wazazi wangu na familia yangu kwa ujumla kwa mchango wao wa hali na Mali. Shukurani zangu pia nazitoa kwa wale wote waliosaidia kitabu hiki kikamilike. Allah awafanyie wepesi katika kila jambo la kheri. UTANG...